Ni Rangi tu
Majaaliwa alipokutana na binadamu wenzake alitamani kujichimbia ardhini ajifiche. Waliicheka rangi yake 'iliyochujuka', kama walivyosema wenyewe. Walimhepa na kumkimbia kama mgonjwa wa uk ... Read More
Majaaliwa alipokutana na binadamu wenzake alitamani kujichimbia ardhini ajifiche. Waliicheka rangi yake 'iliyochujuka', kama walivyosema wenyewe. Walimhepa na kumkimbia kama mgonjwa wa ukoma! Wakati mwingine Majaaliwa alijutia majaaliwa aliyopewa, lakini alijijasiri akakabiliana nayo kiume. Aliyakabili kama vile simba jike mwenye hasira anavyomkabili adui, na hatimaye! Hatimaye ...
Ni ...
Read Less  
Full Description