Kiswahili Fasaha Mwongozo wa mwalimu 4
Kiswahili Fasaha, Mwongozo wa Mwalimu, Kidato cha 4 limeboreshwa ili kumpa mwalimu mwongozo wa kuimarisha maarifa yake ya kufundisha Kiswahili katika shule za sekondari. Mwongozo huu unaa ... Read More
Kiswahili Fasaha, Mwongozo wa Mwalimu, Kidato cha 4 limeboreshwa ili kumpa mwalimu mwongozo wa kuimarisha maarifa yake ya kufundisha Kiswahili katika shule za sekondari. Mwongozo huu unaambatana na Kiswahili Fasaha, Kitabu cha Mwanafunzi, Kidato cha 4
Kitabu hiki kitamwongoza mwalimu kwa kumdokezea jinsi ya kufundisha mada zote katika silabasi kwa kuzingatia mbinu zilizotafitiwa na ku ...
Read Less  
Full Description