Musa na Pepo

KES533.60

Je, kuna pepo anayeisumbua Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen? Musa, King Kong na wanafunzi wengine wa Bweni nambari 3 hawaamini kwamba kuna pepo. Lakini gim ... Read More

Je, kuna pepo anayeisumbua Mukibi's Educational Institute for the Sons of African Gentlemen? Musa, King Kong na wanafunzi wengine wa Bweni nambari 3 hawaamini kwamba kuna pepo. Lakini gimba hili la kutisha linalonyapanyapa kwenye uga wa shule yao ni kitu gani? Madoadoa ya ajabu ya 'damu' yametoka wapi? Na ni nani anayetoa kicheko cha kutisha nje ya mlango wa nyumba ya Bi Namukasa? Nai ...
Read Less   Full Description